Surah An-Nahl ( The Bees ) - Aya 83

Surah An-Nahl ( The Bees ) - Swahili - Aya 83 Aya count 128

يَعْرِفُونَ نِعْمَتَ ٱللَّهِ ثُمَّ يُنكِرُونَهَا وَأَكْثَرُهُمُ ٱلْكَٰفِرُونَ ﴿٨٣﴾
Wanazijua neema za Mwenyezi Mungu, kisha wanazikanusha; na wengi wao ni makafiri.
Share