Swahili

سورة Ash-Shams ( The Sun ) - عدد الآيات 15
مشاركة الموضوع
Kina Thamudi walikadhibisha kwa sababu ya upotofu wao,
Hapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alipo waambia: Huyu ni ngamia wa Mwenyezi Mungu, mwacheni anywe maji fungu lake.
Lakini walimkadhibisha na wakamchinja ngamia, kwa hivyo Mola wao Mlezi aliwaangamiza kwa sababu ya dhambi zao na akawafuta kabisa.