Surah Ash-Shams ( The Sun )

Surah Ash-Shams ( The Sun ) - Swahili Aya count 15

Kina Thamudi walikadhibisha kwa sababu ya upotofu wao,
Hapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alipo waambia: Huyu ni ngamia wa Mwenyezi Mungu, mwacheni anywe maji fungu lake.
Lakini walimkadhibisha na wakamchinja ngamia, kwa hivyo Mola wao Mlezi aliwaangamiza kwa sababu ya dhambi zao na akawafuta kabisa.
Share