Surah Al-Fajr ( The Dawn )

Surah Al-Fajr ( The Dawn ) - Swahili Aya count 30

Na kwa viwili viwili na kimoja kimoja,
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo wafanya kina A'di?
Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia.
Share