Surah Al-Infitar ( The Cleaving )

Surah Al-Infitar ( The Cleaving ) - Swahili Aya count 19

Hapo kila nafsi itajua ilicho tanguliza, na ilicho bakisha nyuma.
Sivyo hivyo! Bali nyinyi mnaikanusha Siku ya Malipo.
Na nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?
Tena nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?
Share