Swahili

سورة Al-Infitar ( The Cleaving ) - عدد الآيات 19
مشاركة الموضوع
Hapo kila nafsi itajua ilicho tanguliza, na ilicho bakisha nyuma.
Sivyo hivyo! Bali nyinyi mnaikanusha Siku ya Malipo.
Na nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?
Tena nini kitakacho kujuulisha Siku ya Malipo ni siku gani?