Swahili

سورة At-Takwir ( The Overthrowing ) - عدد الآيات 29
مشاركة الموضوع
Na ngamia wenye mimba pevu watakapo achwa wasishughulikiwe,
Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu,
Mwenye nguvu na mwenye cheo kwa huyo Mwenye Kiti cha Enzi,