Swahili

سورة An-Nazi'at ( Those who Pull Out ) - عدد الآيات 46
مشاركة الموضوع
Nami nitakuongoa ufike kwa Mola wako Mlezi, upate kumcha.
Lakini aliikadhibisha na akaasi.
Kisha alirudi nyuma, akaingia kufanya juhudi.
Basi ama yule aliye zidi ujeuri,
Na ama yule anaye ogopa kusimamishwa mbele ya Mola wake Mlezi, na akajizuilia nafsi yake na matamanio,