Swahili

سورة Al-Insan ( Man ) - عدد الآيات 31
مشاركة الموضوع
Hakika Sisi tumemuumba mtu kutokana na mbegu ya uhai iliyo changanyika, tumfanyie mtihani. Kwa hivyo tukamfanya mwenye kusikia, mwenye kuona.
Na atawajazi Bustani za Peponi na maguo ya hariri kwa vile walivyo subiri.