Surah Al-Qiyamah ( The Resurrection )

Surah Al-Qiyamah ( The Resurrection ) - Swahili Aya count 40

Lakini mtu anataka tu kuendelea na maasi kwa siku zilioko mbele yake.
Zitajua ya kuwa zitafikiwa na livunjalo uti wa mgongo.
La, hasha! (Roho) itakapo fikia kwenye mafupa ya koo,
Na mwenyewe akajua kwa hakika kuwa huko ndiko kufariki;
Siku hiyo ndiyo kuchungwa kupelekwa kwa Mola wako Mlezi!
Kisha akawa kidonge cha damu, tena Mwenyezi Mungu akamuumba na akamtengeneza vilivyo.
Share