Surah Al-Waqi'ah ( The Event ) - Aya 47

Surah Al-Waqi'ah ( The Event ) - Swahili - Aya 47 Aya count 96

وَكَانُوا۟ يَقُولُونَ أَئِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًۭا وَعِظَٰمًا أَءِنَّا لَمَبْعُوثُونَ ﴿٤٧﴾
Na walikuwa wakisema: Tutakapo kufa na tukawa udongo na mafupa, ati ndio tutafufuliwa?
Share