Surah Adh-Dhariyat ( The Wind that Scatter ) - Aya 29

Surah Adh-Dhariyat ( The Wind that Scatter ) - Swahili - Aya 29 Aya count 60

فَأَقْبَلَتِ ٱمْرَأَتُهُۥ فِى صَرَّةٍۢ فَصَكَّتْ وَجْهَهَا وَقَالَتْ عَجُوزٌ عَقِيمٌۭ ﴿٢٩﴾
Ndipo mkewe akawaelekea, na huku anasema na akijipiga usoni kwa mastaajabu, na kusema: Mimi ni kikongwe na tasa!
Share