Surah Fussilat ( Explained in Detail ) - Aya 4

Surah Fussilat ( Explained in Detail ) - Swahili - Aya 4 Aya count 54

بَشِيرًۭا وَنَذِيرًۭا فَأَعْرَضَ أَكْثَرُهُمْ فَهُمْ لَا يَسْمَعُونَ ﴿٤﴾
Kitoacho khabari njema, na chenye kuonya. Lakini wengi katika wao wamepuuza; kwa hivyo hawasikii.
Share