Surah Ya-seen

Surah Ya-seen - Swahili Aya count 83

Ya-Sin (Y. S.).
Basi hakika mimi hapo nitakuwa katika upotovu ulio dhaahiri.
Jinsi Mola wangu Mlezi alivyo nisamehe, na akanifanya miongoni mwa walio hishimiwa.
Watapata humo kila namna ya matunda na watapata kila watakacho kitaka.
\"Salama!\" Hiyo ndiyo kauli itokayo kwa Mola Mlezi Mwenye kurehemu.
Kwani mwanaadamu haoni ya kwamba Sisi tumemuumba yeye kutokana na tone la manii? Kisha sasa yeye ndio amekuwa ndiye mgomvi wa dhaahiri!
Na akatupigia mfano, na akasahau kuumbwa kwake, akasema: Ni nani huyo atakaye ihuisha mifupa nayo imekwisha mung'unyika?
Share