Surah Al-Imran ( The Famiy of Imran ) - Aya 46

Surah Al-Imran ( The Famiy of Imran ) - Swahili - Aya 46 Aya count 200

وَيُكَلِّمُ ٱلنَّاسَ فِى ٱلْمَهْدِ وَكَهْلًۭا وَمِنَ ٱلصَّٰلِحِينَ ﴿٤٦﴾
Naye atazungumza na watu katika utoto wake na katika utuuzima wake, na atakuwa katika watu wema.
Share