Surah Ash-Shuara ( The Poets ) - Aya 213

Surah Ash-Shuara ( The Poets ) - Swahili - Aya 213 Aya count 227

فَلَا تَدْعُ مَعَ ٱللَّهِ إِلَٰهًا ءَاخَرَ فَتَكُونَ مِنَ ٱلْمُعَذَّبِينَ ﴿٢١٣﴾
Basi usimwombe mungu mwingine pamoja na Mwenyezi Mungu ukawa miongoni mwa watakao adhibiwa.
Share