Surah Ash-Shuara ( The Poets ) - Aya 136

Surah Ash-Shuara ( The Poets ) - Swahili - Aya 136 Aya count 227

قَالُوا۟ سَوَآءٌ عَلَيْنَآ أَوَعَظْتَ أَمْ لَمْ تَكُن مِّنَ ٱلْوَٰعِظِينَ ﴿١٣٦﴾
Wakasema: Ni mamoja kwetu, ukitupa mawaidha au hukuwa miongoni mwa watoao mawaidha.
Share