Surah Taha - Aya 100

Surah Taha - Swahili - Aya 100 Aya count 135

مَّنْ أَعْرَضَ عَنْهُ فَإِنَّهُۥ يَحْمِلُ يَوْمَ ٱلْقِيَٰمَةِ وِزْرًا ﴿١٠٠﴾
Atakaye jitenga nayo, basi kwa yakini Siku ya Kiyama atabeba mzigo.
Share