Surah Al-Baqarah ( The Cow ) - Aya 3

Surah Al-Baqarah ( The Cow ) - Swahili - Aya 3 Aya count 286

ٱلَّذِينَ يُؤْمِنُونَ بِٱلْغَيْبِ وَيُقِيمُونَ ٱلصَّلَوٰةَ وَمِمَّا رَزَقْنَٰهُمْ يُنفِقُونَ ﴿٣﴾
Ambao huyaamini ya ghaibu na hushika Sala, na hutoa katika tuliyo wapa.
Share