Surah Maryam ( Mary ) - Aya 56

Surah Maryam ( Mary ) - Swahili - Aya 56 Aya count 98

وَٱذْكُرْ فِى ٱلْكِتَٰبِ إِدْرِيسَ ۚ إِنَّهُۥ كَانَ صِدِّيقًۭا نَّبِيًّۭا ﴿٥٦﴾
Na mtaje katika Kitabu Idris. Hakika yeye alikuwa ni mkweli Nabii.
Share