Surah Al-Kahf ( The Cave ) - Aya 11

Surah Al-Kahf ( The Cave ) - Swahili - Aya 11 Aya count 110

فَضَرَبْنَا عَلَىٰٓ ءَاذَانِهِمْ فِى ٱلْكَهْفِ سِنِينَ عَدَدًۭا ﴿١١﴾
Tukayaziba masikio yao kuwalaza humo pangoni kwa muda wa miaka kadhaa wa kadhaa.
Share