Swahili

سورة Al-'adiyat ( Those That Run ) - عدد الآيات 11
مشاركة الموضوع
Naapa kwa farasi wendao mbio wakipumua,
Na wakitoa moto kwa kupiga kwato zao chini,
Hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila kwa Mola wake Mlezi!
Na hakika yeye mwenyewe bila ya shaka ni shahidi wa hayo!
Kuwa hakika Mola wao Mlezi siku hiyo bila ya shaka atakuwa na khabari zao wote!