Swahili

Surah Al-Insan ( Man ) - Aya count 31
Share
Hakika Sisi tumemuumba mtu kutokana na mbegu ya uhai iliyo changanyika, tumfanyie mtihani. Kwa hivyo tukamfanya mwenye kusikia, mwenye kuona.
Na atawajazi Bustani za Peponi na maguo ya hariri kwa vile walivyo subiri.