Swahili

Surah Al-Haaqqah ( The Inevitable ) - Aya count 52
Share
Wakamuasi Mtume wa Mola wao Mlezi, ndipo Yeye Mola akawakamata kwa mkamato ulio zidi nguvu.
Laiti mauti ndiyo yangeli kuwa ya kunimaliza kabisa.
(Pasemwe): Mshikeni! Mtieni pingu!
Kwa hakika hii ni kauli iliyo letwa na Mjumbe mwenye hishima.
Ni uteremsho utokao kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,
Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!
Na hakika Sisi bila ya shaka tunajua kwamba miongoni mwenu wapo wanao kadhibisha.
Na hakika hii bila ya shaka ni haki ya yakini.