Swahili

Surah Al-Qalam ( The Pen ) - Aya count 52
Share
Ni nani kati yenu aliye pandwa na wazimu.
Hakika Mola wako Mlezi ndiye Yeye ajuaye zaidi nani aliye ipotea Njia yake, na Yeye ndiye anaye wajua zaidi walio ongoka.
Mkavu, na juu ya hayo, mshari, amejipachika tu.
Wala hawakusema: Mungu akipenda!
Wakasema: Ametakasika Mola wetu Mlezi! Hakika sisi tulikuwa wenye kudhulumu.