Swahili

Surah Al-Waqi'ah ( The Event ) - Aya count 96
Share
Watakuwa juu ya viti vya fakhari vilivyo tonewa.
Wanapendana na waume zao, hirimu moja.
Katika upepo wa moto, na maji yanayo chemka,
Tena mtakunywa kama wanavyo kunywa ngamia wenye kiu.
Je! Mnaiona mbegu ya uzazi mnayo idondokeza?
Mkisema: Hakika sisi tumegharimika;
Ni uteremsho unao toka kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
Kwanini hamuirudishi hiyo roho, ikiwa nyinyi mnasema kweli?
Basi ni Salamu kwako uliye miongoni mwa watu wa upande wa kulia.
Basi karamu yake ni maji yanayo chemka,