Swahili

Surah An-Najm ( The Star ) - Aya count 62
Share
Akawa ni kama baina ya mipinde miwili, au karibu zaidi.
Je! Nyinyi mnao wana wanaume na Yeye ndio awe na wanawake?
Ya kwamba hakika nafsi iliyo beba madhambi haibebi madhambi ya mwengine?
Na kwamba ni Yeye ndiye anaye tosheleza na kukinaisha.
Na kwamba hakika Yeye ndiye Mola Mlezi wa nyota ya Shii'ra.
Na miji iliyo pinduliwa, ni Yeye aliye ipindua.